Bunge nchini Ghana limeunga mkono pendekezo la marekebisho ya muswada dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambapo wanaojitambulisha kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja watahukumiwa kifungo cha miaka 3 gerezani huku wanaofanya kampeni ya haki za LGBT wakitarajiwa kufungwa hadi miakaβ¦