KIPEPE ๐Ÿ’Š(@kipepe123) 's Twitter Profileg
KIPEPE ๐Ÿ’Š

@kipepe123

Social media influencer

ID:1188547956758274048

calendar_today27-10-2019 20:08:31

166,3K Tweets

433,0K Followers

985 Following

Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Utafiti wa HakiRasilimali umebaini kuwa vitendo haramu kama ugaidi, magendo, rushwa na ukwepaji kodi vinakwamisha ukuaji wa sekta ya dhahabu na madini ya thamani.
Sera na kanuni madhubuti zinahitajika kukabiliana na changamoto hizi.

account_circle
KIPEPE ๐Ÿ’Š(@kipepe123) 's Twitter Profile Photo

Ila Wanawake Sijui Huwa Wanawaza Nini Yaaani Unajitoa Kwa Mtu Unampa Kila Kitu Unajikakamua Ale hata Chips mayai Mara Moja Kwa Mwezi

Bado Anakusaliti inaumiza sana ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

account_circle
Mjege Kinyota, PhD๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@k_mjege) 's Twitter Profile Photo

Moyo wa TAIFA โ„ข๏ธ Kipepe bado yuko kwenye mode ya Kasulu Vijijini. Hela yake ngumu sana kutoka. Aliwahi kuninunulia kuku Dodoma hadi leo nikikutana naye ananikumbusha kuwa anininunulia.

account_circle
Calm Corner(@CalmKona) 's Twitter Profile Photo

Kuepuka stress za mapenzi kunaweza kuwa ngumu, lakini hapa kuna njia kadhaa unazoweza kuzingatia:

1. Kuwa na mawasiliano wazi na mwenzi wako: Eleza hisia zako na wasiwasi wako kuhusu uhusiano wako.

Kuepuka stress za mapenzi kunaweza kuwa ngumu, lakini hapa kuna njia kadhaa unazoweza kuzingatia: 1. Kuwa na mawasiliano wazi na mwenzi wako: Eleza hisia zako na wasiwasi wako kuhusu uhusiano wako.
account_circle
Gaure(@gauremdee) 's Twitter Profile Photo

Ukisikia neno mbuzi๐Ÿ, wengi moja kwa moja wanajua ni kitoweo, nyama choma laini, inakuja na ndizi, kachumbari na pilipili.

Kwenye Fasihi, mbuzi ni kiumbe hakina utulivu, chenye hekaheka mara zote.

๐Ÿanaweza kutumika kwenye mbio, na watu wakavuna mpunga kwa kuwabetia yupi

account_circle
KIPEPE ๐Ÿ’Š(@kipepe123) 's Twitter Profile Photo

Ila Wanawake Sijui Huwa Wanawaza Nini Yaaani Unajitoa Kwa Mtu Unampa Kila Kitu Unajikakamua Ale hata Chips mayai Mara Moja Kwa Mwezi

Bado Anakusaliti inaumiza sana ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

account_circle
KIPEPE ๐Ÿ’Š(@kipepe123) 's Twitter Profile Photo

Bahati Bukuku Alivyokua Anaimba 'DUNIA HAINA HURUMA' Nilihisi Anatania

Kiko Wapi nazurura na Ma CVs ๐Ÿ˜ญ

account_circle
Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Utafiti wa 'Mapping Illicit Mining' wa HakiRasilimali unaonyesha kuwa kukabiliana na vitendo haramu kwenye sekta ya madini kupitia sera na kanuni madhubuti kutasaidia kuongeza mapato na kuendeleza uchumi.

account_circle
KIPEPE ๐Ÿ’Š(@kipepe123) 's Twitter Profile Photo

Bahati Bukuku Alivyokua Anaimba 'DUNIA HAINA HURUMA' Nilihisi Anatania

Kiko Wapi nazurura na Ma CVs ๐Ÿ˜ญ

account_circle
Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya dhahabu na madini ya thamani nchini Tanzania inachangia sana uchumi wa taifa na maisha ya jamii, lakini inahitaji kuboresha ukusanyaji wa mapato.
Utafiti wa HakiRasilimali umeonyesha njia za maendeleo endelevu na matumizi sawa ya rasilimali.

account_circle
CRDB Bank PLC(@CRDBBankPlc) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda akiwa anatoa salamu za mkoa ameelezea kuwa Benki ya CRDB imekuwa mdau mkubwa wa maendeleo katika mkoa wa Arusha, na kuishukuru Benki kuendelea kufanya Mkutano Mkuu pamoja na Semina kwa Wanahisa wake katika Jiji la Arusha.

Pamoja na hayo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda akiwa anatoa salamu za mkoa ameelezea kuwa Benki ya CRDB imekuwa mdau mkubwa wa maendeleo katika mkoa wa Arusha, na kuishukuru Benki kuendelea kufanya Mkutano Mkuu pamoja na Semina kwa Wanahisa wake katika Jiji la Arusha. Pamoja na hayo
account_circle
SANUKAnaCHAPO(@chapo255) 's Twitter Profile Photo

Flex by Serikali Kuu Ya Mizuka imedondoka leo rasmi, wahuni wamezika then wakasafirisha.

Natamani sana niendelee kumuona Deddy akifanya muziki na kuachia project zaks, naamini sana kwenye kipaji chake, mwana ni zao la CBE๐ŸŽ“
youtu.be/WiBgb7tU8PY?siโ€ฆ

account_circle
CoCo๐Ÿซ๐Ÿ’ฆ(@YourFrenchFry) 's Twitter Profile Photo

Ukiwa mjini utaona kama mambo ya hedhi ni very manageable, ila hali ndio kama hii huko vijijini, even WORSE!

Hebu angalia aina ya pedi wanazojitengenezea. They can barely afford a decent pack of pads. Ndio maana pedi hazitakiwi kutozwa kodi.

account_circle
Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Kwamba una eneo lako lets say shamba, una hati miliki, anakuja mtu ana leseni ya uchimbaji anaanza tuu kuchimba eti? ๐Ÿ˜ƒ
Kuna watu wana utani sana.

account_circle