Hope Channel Tanzania(@hopechanneltz) 's Twitter Profile Photo

Neno la Mungu ni dira yetu ya kweli na mwanga katika giza la maisha. Linatuongoza kwa upendo, haki, na hekima. Kupitia maneno yake, tunapata nguvu ya kuvuka changamoto na kuelekea kwenye maisha yenye amani na furaha ya kweli.
β€’
β€’

Neno la Mungu ni dira yetu ya kweli na mwanga katika giza la maisha. Linatuongoza kwa upendo, haki, na hekima. Kupitia maneno yake, tunapata nguvu ya kuvuka changamoto na kuelekea kwenye maisha yenye amani na furaha ya kweli.
β€’
β€’
#hopechanneltanzania  #tafakari #rohoyaunabii
account_circle
Hope Channel Kenya(@Hope_Kenya) 's Twitter Profile Photo

Karibu kwenye Mkutano wa Injili 'Rudi Nyumbani', utakaofanyika katika Kanisa la SDA Church Kizingo kuanzia tarehe 9/6/2024 hadi tarehe 22/6/2024.
Karibuni sana!

Karibu kwenye Mkutano wa Injili 'Rudi Nyumbani', utakaofanyika katika Kanisa la SDA Church Kizingo kuanzia tarehe 9/6/2024 hadi tarehe 22/6/2024.
Karibuni sana!
#hopechannelkenya #hopechanneltz #Hopechannel #rudinyumbani
account_circle
Hope Channel Tanzania(@hopechanneltz) 's Twitter Profile Photo

Mwanga wa Imani yetu katika Yesu huangaza katika giza la shaka, ukitoa matumaini na nguvu kwa wote wanaosonga mbele. Tuwe watumishi wa upendo na matumaini, tukieneza nuru yake kwa ulimwengu unaohitaji mwongozo. Ushindi wetu uko katika Imani yetu.

Mwanga wa Imani yetu katika Yesu huangaza katika giza la shaka, ukitoa matumaini na nguvu kwa wote wanaosonga mbele. Tuwe watumishi wa upendo na matumaini, tukieneza nuru yake kwa ulimwengu unaohitaji mwongozo. Ushindi wetu uko katika Imani yetu. #MwangaWaImani #YesuNiTumaini
account_circle
Hope Channel Tanzania(@hopechanneltz) 's Twitter Profile Photo

Unahitaji kusikia Sauti ya Mungu katika maisha yako, fungu biblia yako na uisome kwa tafakari, na umruhusu Roho wa Mungu akuongeze kuaikia sauti ya Mungu, tunapoomba Mungu anatusikiliza tunalosoma Biblia unamruhusu Mungu Kuzungumza ndani yetu.

Unahitaji kusikia Sauti ya Mungu katika maisha yako, fungu biblia yako na uisome kwa tafakari, na umruhusu Roho wa Mungu akuongeze kuaikia sauti ya Mungu, tunapoomba Mungu anatusikiliza tunalosoma Biblia unamruhusu Mungu Kuzungumza ndani yetu.
account_circle
Lawrance Malila(@LawranceMalila5) 's Twitter Profile Photo

Deuteronomy 1:43
So I spake unto you; and ye would not hear, but rebelled against the commandment of the LORD, and went presumptuously up into the hill.
Hope Channel Tanzania Adventist Church Ted Wilson SDA Church - Kibada

account_circle