Ngolo Kante Shabiby (@nyangasial51155) 's Twitter Profile
Ngolo Kante Shabiby

@nyangasial51155

|| Yanga SC || Manchester United

ID: 1705933800163659776

calendar_today24-09-2023 13:15:20

5,5K Tweet

261 Followers

600 Following

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

"Polisi wameua watu wengi kuliko watu waliouliwa na majambazi toka siku ya Uhuru hadi leo, Tarehe 9D ni siku ya Uhuru wa pili"_;~ Andrew Nyerere Mtoto wa kwanza wa Mwalimu Nyerere.

John Nguti Chadema (@johnnguticdm) 's Twitter Profile Photo

JWTZ limegeuzwa kama kikundi cha Sungusungu, Sasa wanapewa maelekezo na Polisi nini wanapaswa kufanya. Mliapa kwa Katiba ya TZ kusimama upande wa Wananchi na kuwalinda, Simamieni imara viapo vyenu na mrudishe imani ya Wananchi kwenu, Kataeni maagizo ya kihuni ya kuumiza Wananchi

JWTZ limegeuzwa kama kikundi cha Sungusungu, Sasa wanapewa maelekezo na Polisi nini wanapaswa kufanya.

Mliapa kwa Katiba ya TZ kusimama upande wa Wananchi na kuwalinda, Simamieni imara viapo vyenu na mrudishe imani ya Wananchi kwenu, Kataeni maagizo ya kihuni ya kuumiza Wananchi
kuringe sawere Timbiri (@kuringechadema) 's Twitter Profile Photo

MAANDAMANO NI DECEMBER 9 MAANDAMANO NI DECEMBER 9 MKUMBUSHE NA MWENZAKO! MAANDAMANO NI DECEMBER 9 MKUMBUSHE NA MWENZAKO! MAANDAMANO NI DECEMBER 9 MKUMBUSHE NA MWENZAKO! MAANDAMANO NI DECEMBER 9 MKUMBUSHE NA MWENZAKO! Kabla ya kulala Just Retweet ✊️

Ngolo Kante Shabiby (@nyangasial51155) 's Twitter Profile Photo

Sema mabinti wa Morogoro ni wafupi sana kuanzia👇 Gairo Ngirori Tabu hotel Kwambe Kiyegeya Maguha Magubike Dumila Wami sokoine Wami dakawa Kwa makunganya Minara 3 Kihonda🙌

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🚨‼️Tamko la Gen Z 🇹🇿 kuhusu mkutano wa wazee‼️ Vijana wamenyooka 🔥 👉🏽 hawa sio Wazee wa Dar ifahamike kuwa hawa ni Wazee wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar na wanakwenda kukutana na Mwenyekiti wao wa Taifa CCM lakini pamoja na hayo Wazee wa Dar watusaidie kumwambia Samia Suluhu

🚨‼️Tamko la Gen Z 🇹🇿 kuhusu mkutano wa wazee‼️
Vijana wamenyooka 🔥
👉🏽 hawa sio Wazee wa Dar ifahamike kuwa hawa ni Wazee wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar na wanakwenda kukutana na Mwenyekiti wao wa Taifa CCM lakini pamoja na hayo Wazee wa Dar watusaidie kumwambia Samia Suluhu