GiftedSon ๐Ÿฆ (@joe_rap) 's Twitter Profile
GiftedSon ๐Ÿฆ

@joe_rap

Lyricist| Composer | Melody Maker

ID: 1211369079191130113

linkhttps://wa.me/qr/6O2C2DSXH43QL1 calendar_today29-12-2019 19:31:45

8,8K Tweet

1,1K Followers

2,2K Following

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

TUNDU LISSU: Mtu Wa Kwanza Kusaini Mikataba Ya Madini Ni MEJA JAKAYA KIKWETE Akiwa Waziri Wa Nishati Na Madini 1994. JAKAYA MRISHO KIKWETE Anaponaje? Mpeni RT 200๐Ÿค

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wamesema kwa sauti kubwa kwamba bila mabadiliko hakuna uchaguzi.. kujifungia ndani na kufanya kiburi kwamba mnaweza kufanya uchaguzi na vibaraka wa serikali bila kushirikisha Watanzania wote itakua mbaya sana kwa serikali hii. #NoreformsNoelections

GiftedSon ๐Ÿฆ (@joe_rap) 's Twitter Profile Photo

KARIAKOO DERBY 1.Naiona Simba Sports Club ikipoteza na kufanywa daraja la ubingwa Kwa Yanga 2024/2025 2.Hii mind game ya ukimya,ilikuwa ya kitoto,na ndiyo itakayowaponza 3.Sioni wakishinda,wakijitahidi sana watapata Sare,ambayo Kwa Yanga Ina faida โœ๏ธ NB: #NoReformsNoElection

GiftedSon ๐Ÿฆ (@joe_rap) 's Twitter Profile Photo

Kama TFF wameweza kuleta Waamuzi/waangalizi wa Derby kutoka nje,kwa nini kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba,Mamlaka isiridhie wasimamizi wa kimataifa,au wanaogopa litakufa Jitu!??๐Ÿซต๐Ÿ˜

Kama TFF wameweza kuleta Waamuzi/waangalizi wa Derby kutoka nje,kwa nini kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba,Mamlaka isiridhie wasimamizi wa kimataifa,au wanaogopa litakufa Jitu!??๐Ÿซต๐Ÿ˜
๐•ฎ๐–‘๐–†๐–—๐–† ๐•ป๐–”๐–Ÿ๐–Ÿ๐–Ž๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช (@miss_msimbazi) 's Twitter Profile Photo

Mandezi wametia Nia๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜ Ubunge imekuwa ndiyo kazi pendwa Kwa sasa,na ni Kwa sababu tu,kuna pesa nyingi za bure tu,hivi mfano Leo...Mbunge angekuwa analipwa Million 2.5 per mwezi,hakuna sitting allowances,Bajeti ya kujikimu,Yaani ajitunze Kwa mshahara huo huo,Je wangeukimbilia?๐Ÿ’ƒ๐Ÿฟ

Mandezi wametia Nia๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜
Ubunge imekuwa ndiyo kazi pendwa Kwa sasa,na ni Kwa sababu tu,kuna pesa nyingi za bure tu,hivi mfano Leo...Mbunge angekuwa analipwa Million 2.5 per mwezi,hakuna sitting allowances,Bajeti ya kujikimu,Yaani ajitunze Kwa mshahara huo huo,Je wangeukimbilia?๐Ÿ’ƒ๐Ÿฟ
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Chunga, tamaa mbaya! Picha hii nzuri sana, ilipigwa siku ya Jumatatu, 17.08.2020 mbele lango kuingia katika ofisi za Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Bunda. Hii ni siku ambayo Ester Bulaya alikuwa amekwenda kurejesha fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini. Ubunge ambao

Chunga, tamaa mbaya!

Picha hii nzuri sana, ilipigwa siku ya Jumatatu, 17.08.2020 mbele lango kuingia katika ofisi za Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Bunda.

Hii ni siku ambayo Ester Bulaya alikuwa amekwenda kurejesha fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini. Ubunge ambao
GiftedSon ๐Ÿฆ (@joe_rap) 's Twitter Profile Photo

Ni ngumu kuupinga wizi Kwa kuungana na wezi,ndiyo maana huwezi kuona Vibaka wakivaa Sare za Polisi na kukamata Majambazi โœ๏ธ #Forthestreets #GiftedsonJoe #NoReformsNoElection2025

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Ndugu Watanzania, Kwa heshima na taadhima, ninawaandikia barua hii nikiwa mwenye uchungu wa kweli juu ya hatima ya nchi yetu. Sauti yangu ni sauti ya mamilioni ya Watanzania waliokata tamaa. Ni kilio cha taifa lililonyimwa haki, likakandamizwa kisiasa, na sasa likielea bila

๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Kwa hio Timu za Mpira kuingia Kariakoo zaidi ya masaa 4+โ€ฆ Kusimamisha shughuli za kibiashara na hata kufunga barabara rukhsaโ€ฆ Ila CHADEMA wakiomba kibali cha hata Nusu saa pale pembezon tu- Hawaruhusiwi?? Hayaโ€ฆ