Radio Jambo
@RadioJamboKenya
Ongea usikike! ๐ฐ๐ช 97.5 NRB | 92.3 MSA | 100.1 KSM | 96.9 NKR | 99.5 ELD | 99.3 NYERI | 92.7 MERU | 95.3 WEBUYE | 89.3 KISII | 104.9 KITUI | 105.7 VOI | ๐ป
ID:2515401066
https://radiojambo.co.ke 22-05-2014 13:13:01
438,8K Tweets
245,9K Followers
311 Following
Mbappe alionekana kushangazwa na ubora na alipokuwa akichunguza uumbaji huo, alisema: 'Ni mimi, asilimia 100!' Mbappe pia alitania 'ni Kylian zaidi yangu!'
#KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/michezo/footbaโฆ
Baadhi ya wachezaji tajika katika EPL wataaga vilabu vyao mwezi ujao kufuatia kuisha kwa mikataba.
#JamboInfoGraphics #KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/habari/grafikiโฆ
Raphael Varane, Thiago Alcantara na Thiago Silva ni miongoni mwa wachezaji ambao tayari wamewaaga mashabiki wa vilabu vyao.
#KituoChaWakenya
Mrembo huyo ambaye ni mpenzi wa zamani wa Director Trevor alifichua haya wakati alikuwa akiwajibu baadhi ya mashabiki wake kwenye chapisho lake la hivi majuzi. #KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/burudani/mastaโฆ
Aliyekuwa msemaji wa Ikulu Kanze Dena amefunguka kuhusu ujauzito wake wa kwanza na jinsi ulivyoathiri maisha yake. #KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/burudani/mastaโฆ
โSasa hivi Iโm brokeโฆโ ringtone apoko
Massawe Japanni
#ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Ilihusisha watoto yatima ambao walikuwa wamepoteza wanafamilia wakati wa mashambulizi ya magenge yenye silaha. #KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/habari/kimataiโฆ
Msanii huyo katika kisa cha kuogofya, alikuwa anatumbuiza kwenye kipindi cha moja kwa moja cha 10/10 kwenye runinga ya Citizen alipodondoka sakafuni ghafla na kuzimia. #KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/burudani/mastaโฆ
Kim: 'Mimi sina kazi, sina pesa na sijui itakuwaje. Hata mimi niko na familia ya kulea...' #DeadBeat #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Mwanamuziki ringtone apoko atakuwa nasi kwa mahojiano saa saba. Usikose!
Massawe Japanni
#ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Mbunge huyo alisisitiza kwamba ushuru huo haujaanza kufanya kazi bali ni pendekezo tu na ni jukumu la Wakenya kujitokeza kutoa maoni yao. #KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/habari/taarifaโฆ
Faith Kirimi Maryam Juliah Radio Jambo Massawe Japanni Tina Masika Mฤnchษstษr gyฤl ๐ฐ๐ช Omunzi๐ฐ๐ช๐ญ Daphine Ogera {Kisii finnestโค๏ธ} Spartasharon Mary waithira mwangi Rose Nanga ๐๐ฒ๐บ๐-๐ผ๐บ๐๐น๐ฎ๐ฏ๐ถ ke @Koki Muli Sheikh Muhsin palmer ELTON KARISA Noty Rowsha Johntey Suzzie Boy (Hustler001) ๐๐๐๐๐_๐๐๐๐๐ฅ๐ง2~Kamanda(หขแตโฑสณโฑแตแตแตหก๐นแตแตแตแตสณ) Goddie_Williams Hii story yakula far iliianza kitambo #jambomassawe
Araphat KE Maryam Juliah Radio Jambo Massawe Japanni Tina Masika Mฤnchษstษr gyฤl ๐ฐ๐ช Omunzi๐ฐ๐ช๐ญ Daphine Ogera {Kisii finnestโค๏ธ} Spartasharon Mary waithira mwangi Rose Nanga ๐๐ฒ๐บ๐-๐ผ๐บ๐๐น๐ฎ๐ฏ๐ถ ke @Koki Muli Sheikh Muhsin palmer ELTON KARISA Noty Rowsha Johntey Suzzie Boy (Hustler001) ๐๐๐๐๐_๐๐๐๐๐ฅ๐ง2~Kamanda(หขแตโฑสณโฑแตแตแตหก๐นแตแตแตแตสณ) Goddie_Williams #Jambomassawe esirulo mix-up supermarket Tuko ndaani vihiga county inaskiza Massawe Japanni Radio Jambo
Araphat KE Massawe Japanni Radio Jambo Massawe Japanni
Lakini ndoa ni mzuri buana, uko na mtu wa kukuletea yoghurt kila siku ๐๐๐ #jambomassawe
Radio Jambo Massawe Japanni tuna kasumba ya kusema jamii flani ni wachawi so ni better usikose marafiki na kupoteza familia juu ya kuoa kwa familia inayoaminika ni mbaya #jambomassawe
Yes y'all be wondering what happened to Stella, well, she's still alive and now working on Radio Jambo by the name Masawe Japan. Kindly Massawe Japanni explain to us your side of the story ๐.
Massawe Japanni Paul wa esirulo(team player) Araphat KE Radio Jambo Jug ni ya Keg ๐ gbag ni bangi
#jambomassawe