Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profileg
Citizen TV Kenya

@citizentvkenya

Kenya's Premier TV Station. Breaking News / Entertainment / Your Favorite Local TV Shows. Follow us on https://t.co/tPzCCpxeFt

ID:70394965

linkhttps://www.citizen.digital/ calendar_today31-08-2009 13:42:16

793,0K Tweets

5,8M Followers

154 Following

Follow People
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Wanafunzi wasusia vyuo vya kiufundi:

Vyuo vya kiufundi vyasajili wanafunzi wachache Nyamira. Wazazi washauriwa kuwahimiza wana wao kjiunga na TVETs

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Mzozo wa mgodi Marsabit:

Serikali ilipiga marufuku uchimbaji dhahabu Hillo, Marsabit. Watu watano walifariki baada ya mgodi kuporomoka Hillo. Wawakilishi Wadi wa Marsabit wataka marufuku iondolewe

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Stara ya hedhi:

Siku ya hedhi duniani imeadhimishwa nchini. Serikali yaraiwa kusambaza sodo shuleni

Wasichana hukosa masomo kwa sababu ya hedhi. Mashirika mbalimbali yafanya uhamasisho wa hedhi

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Wasichana wakosa sodo kambini:

Waathiriwa wa mafuriko wakosa sodo kambini Garissa. Wazazi washindwa kuwanunulia wana wao sodo kambini

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Hitaji la sodo shuleni:

Wasichana wengi hukosa kuhudhuria masomo wakati wa hedhi. Watoto wa kike wahangaika mashinani kaunti ya Kajiado

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Dhuluma za kimapenzi Samburu:

Watoto wanunuliwa sodo kisha wanatungwa mimba Samburu. Baadhi ya wanabodaboda walaumiwa kwa kuwadhulumu watoto

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Mzozo wa matatu Kerugoya:

Wamiliki wa matatu wazozana na wa magari ya Sienta. Wenye magari aina ya Sienta wasema wameruhusiwa kubeba abiria

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Usalama barabarani Taita Taveta:

Misako ya magari mabovu yapunguza ajali barabarani. Polisi washirikiana na NTSA kufanya misako Taita Taveta

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Ubomoaji wa nyumba Kwale:

Nyumba za mfanyabiashara zabomolewa bila ilani. Polisi wachunguza kiini cha ubomoaji wa nyumba za mwekezaji

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Masaibu ya maafisa wa kliniki:

Maafisa wa kiliniki kutoka Nyanza waandamana Kisii. Mgomo wa wahudumua hao wa afya umeingia siku ya 59

swaleh mdoe

account_circle
Citizen TV Kenya(@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Ukuzaji wa mataifa ya Afrika:

Benki ya AFDB yaadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa. Mdahalo wa ustawishaji wa mataifa ya Afrika. Mkutano wafanyika katika jumba la KICC jijini Nairobi

Ruto: Kenya kuwekeza dola milioni 100 katika AFDB

swaleh mdoe

account_circle