Adv. Dickson Matata (@advmatata) 's Twitter Profile
Adv. Dickson Matata

@advmatata

advocate/ lawyer

ID: 1415666616348512261

calendar_today15-07-2021 13:36:56

186 Tweet

18,18K Followers

99 Following

Adv. Dickson Matata (@advmatata) 's Twitter Profile Photo

Jana wakati nikiwa katika viunga vya Mahakama ya upeo (ya juu zaidi) nchini Kenya. Nilimwomba kijana mmoja anisaidie "WIFI" ili nitume nyaraka flani sehemu... yule kijana mbele ya Polisi zaidi ya wawili alinitajia "Password" yake kwa sauti "Ruto ni Mbwa". Kwa Tz sijui ingekuwaje

Jana wakati nikiwa katika viunga vya Mahakama ya upeo (ya juu zaidi) nchini Kenya. Nilimwomba kijana mmoja anisaidie "WIFI" ili nitume nyaraka flani sehemu... yule kijana mbele ya Polisi zaidi ya wawili alinitajia "Password" yake kwa sauti  "Ruto ni Mbwa". Kwa Tz sijui ingekuwaje