Absalom Kibanda
@absakibanda
Author, Communication Strategist, Editor, Analyst, Media Personality, Political & Leadership Consultant, Columnist & Former Chair Tanzania Editors' Forum.
ID:628145002
06-07-2012 07:21:27
2,5K Tweets
62,2K Followers
4,5K Following
“Nchi hii si milki ya mtu mmoja… Nchi hii yetu sote”. Ahsante Rais Mstaafu Zanzibar, Amani Abeid Karume kwa karipio hilo. Hizi ndizo hekima za kiongozi aliyestaafu mwenye dhamana ya ushauri stahiki. Naamini Rais Dr Hussein Ali Mwinyi na makamu wake Othman Masoud Othman wamekusikia
MATUKIO KATIKA PICHA
Baadhi ya Waandishi wa Habari Waandamizi pamoja na Wahariri wakiwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2024. Absalom Kibanda issamichuzi…
Nilibahatika kuwatembeza ndg Absalom Kibanda na ndg Bakari S. Machumu katika Ofisi zetu za Makao Makuu ya Chama chetu ACTWazalendo Jengo la Maalim Seif Sharif Hamad. Hapa ni Chumba cha Vikao vya Kamati Kuu ya Chama. Chumba hiki kinaitwa Juma Duni Haji Committee Room
'Killing Thatcher' is about the most audacious attack by IRA on the #British establishment. Margaret Thatcher survived. The nonfiction reads like an #Agathachristie thriller on #security and counter-insurgency. It provides insights into #NorthernIreland 's checkered history.
Mwenyekiti wa #Chadema Freeman Mbowe anayo hoja ya msingi kuhusu R4 za Rais Samia Suluhu. Katika hili, Rais na CCM yake wajitafakari. Tubishane katika lile la maandamano.
Leading by example. Thank you Hakainde Hichilema. Our Madam President, Her Excellency Samia Suluhu should follow suit. This is definitely, exemplary.
Aid curse. R.I.E.P Ali Mufuruki. What should Tanzania do then to get out/rid of this mess?!Ali A. Mufuruki