Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profileg
Radio Jambo

@RadioJamboKenya

Ongea usikike! 🇰🇪 97.5 NRB | 92.3 MSA | 100.1 KSM | 96.9 NKR | 99.5 ELD | 99.3 NYERI | 92.7 MERU | 95.3 WEBUYE | 89.3 KISII | 104.9 KITUI | 105.7 VOI | 📻

ID:2515401066

linkhttps://radiojambo.co.ke calendar_today22-05-2014 13:13:01

439,1K Tweets

246,0K Followers

311 Following

Follow People
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Sancho atakuwa anarejea ugani Wembley Jumamosi hii tangu kupoteza penalti kwenye fainali ya Euro 2020 akidai kuwa haijafutika akilini.

radiojambo.co.ke/michezo/footba…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Msanii huyo alibainisha kuwa kuna wakati alikuwa akiimba barabarani na kupata hela kidogo kidogo kutoka kwa wapita njia.

radiojambo.co.ke/burudani/masta…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Mbele ya macho yake, rafiki yake wa kike alipiga backflips 2 na kutua kwa ustadi. Alisema kuwa uzoefu huo ulimfanya kuwa na maoni tofauti kuhusu mpenzi wake.


radiojambo.co.ke/burudani/dakia…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Wimbo huu ni sherehe ya upendo, ushirikiano, na furaha maradufu inayotokana na kushiriki safari ya maisha na mtu maalum.

radiojambo.co.ke/burudani/kibao…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Kim, 43, aliwasilisha kesi ya talaka kutoka kwa Kanye, 46, mnamo Februari 2021 na kutengana kulikamilishwa baada ya vita vikali mnamo Novemba 2022. Wakati wa ndoa yao, walipokea watoto wanne pamoja.

radiojambo.co.ke/burudani/masta…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Niko hapa, babe. Ninaweza kupika. Naweza kusafisha. Na ukinioa tuh hivi, mimi naachana na story za media natulia nyumbani hata sitaongea.

radiojambo.co.ke/burudani/masta…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

'Ninachotaka tu ada ya matunzo ili mtoto wangu aweze kwenda shule na kuwa na maisha bora ya baadaye,' alisema.

radiojambo.co.ke/habari/yanayoj…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Alieleza jinsi alivyoumia moyo baada ya kugundua kwamba mpenzi wake alimuacha na kuanza kuchumbiana na msichana yule yule ambaye mpenzi wake wa zamani pia alimuacha na kuanza kuchumbiana naye.

radiojambo.co.ke/burudani/dakia…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Mwaka jana taifa la Kenya lilipigwa na butwaa baada ya miili zaidi ya 600 kufukuliwa katika eneo la Shakahola, kiini cha vifo vyao ilikuwa imani potovu.

radiojambo.co.ke/habari/makala/…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Mwimbaji huyo aliteseka sana kwa sababu ya kuchelewa kugunduliwa kwani ilimbidi kutafuta kila wakati pesa za matibabu ndani na nje ya nchi.

radiojambo.co.ke/burudani/masta…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

'Uamuzi huu ulikuwa wa fedheha na sio wa huru na haki. Huu ulikuwa mtihani uliopangwa na jaji aliye na mgongano wa maslahi na adui wa taifa letu.'

radiojambo.co.ke/habari/yanayoj…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Kanyari alijiunga TikTok miezi michache iliyopita na kuwasuta waliomsimanga kuwa alifuata pesa akisema kuwa kilichompeleka TikTok ni kuwahubiria vijana wanaozingirwa na ibilisi katika mtandao huo.

radiojambo.co.ke/burudani/masta…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Ulinzi Aden Duale amesema kuwa Kenya inasalia kujitolea kwa misheni yake ya kulinda amani nchini Haiti.

radiojambo.co.ke/habari/taarifa…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Hii ilikuwa baada ya Wakenya kulalamikia taasisi ya serikali kwamba vitambulisho vingine vilivyotumika miezi kadhaa iliyopita vilikuwa bado havijatolewa.

radiojambo.co.ke/habari/taarifa…

account_circle
Radio Jambo(@RadioJamboKenya) 's Twitter Profile Photo

Kombe aliagizwa kulipa mlalamishi Stanley Kenya gharama ya kesi isiyozidi shilingi milioni mbili.

radiojambo.co.ke/habari/mahakam…

account_circle