Lubasha Jr
@MarekaMalili
|Digital Consultant | |Baba Maggie & Gian |Youth Development| |Parenting| |Financial Literacy| |#ManU #LBJLoyalKnight|
ID:372227239
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.app.bando.dev 12-09-2011 11:35:03
663,2K Tweets
622,0K Followers
1,7K Following
Lubasha Jr Huwa naamini kwenye kufanya kazi kwa moyo na kujitoa kwa wenye shida mbalimbali kusali au kutoa zaka hakukufanyi ufanikiwe nina rafiki yangu ana roho mbaya ila amefanikiwa sana na ni Tajiri mkubwa sna
Lubasha Jr Mungu anampa Dunia anayempenda na asiyempenda, ila humpa akhera anayempenda tuu. Kupewa Dunia sio ishara ya kupendwa na mungu. Akikupenda mungu hukufunulia elimu ya kumtii kisawasawa na kuogopa mipaka yake.
Lubasha Jr Nadhan jaribu kuwatizama matendo yao hao ambao hawana habar ya kusali wala kutoa fungu la 10, utakuta kuna mahali wanafanya vizr kuliko hao wanaoonekana wanafanya life la uchamungu ila moyoni wako chini sana.
Lubasha Jr Spiritual life is very confusing and yet so very easy to understand and to live by, ni vile tuna tofautiana na bado tuna Imani changa,
Ukiisoma vizuri unakuja kujua haya maisha kila kitu kinaanzia huko in a spirit world, pia kila mtu na uwezo wake.
Lubasha Jr Wanasema kuna mambo ni principle tu, iwe ni mtu wa spiritual au la matokeo utaona. Uko spiritual ila hauzingatii principle hapo ndio penye mkwamo.
Lubasha Jr Kwamba isingekuwa masuala ya kulipa kodi, wangepitisha bungeni wananchi wote wauwawe wabaki viongozi pekeyao😄 na meza zingepigwa
Lubasha Jr Unaweza kufanikiwa bila Mungu, sababu Mungu huruhusu ridhki hata kwa wasiomtambua ili mradi wanapambana, pia hata ukiwa unasali bila kujua prinples za mafanikio ni ngum kutoboa, na unaweza fanikiwa hata kwa ushetani, lakini mafanikio yenye Mungu yana Amani kubwa na yana dumu.
Lubasha Jr Walifanya hivi dhidi ya Chelsea wamefanya na Man City mara mbili na leo kwa bayern Haiwezakani kila wakati bahati iwe upande wao there is something which is not normal
Lubasha Jr Kuna watu wanaishi kwa imani ya kwamba wamebarikiwa, hawaamini bahati mana bahati huweza kuwa mbaya au nzuri au isiwepo kabisa ila baraka kunyume chake laana, hawa watu kila wakigusa imo
Lubasha Jr Kwa mujibu wa Uislamu.
1. Mungu ni mlezi, hivyo anawapa viumbe wote.
2. Mitihani ipo kwenye kukosa na kupata au kufanikiwa.
3. Rizki zetu zipo, zikiisha safari hiyo
4. Ibda si sababu ya rizki bali ni utii thabiti kwake.
5. Rizki au neema zingine hatuzioni e.g Afya, amani.
Lubasha Jr Kuna wakati unaona wanawanapiga pesa za illegal na hawadakwi sasa jaribu wewe 😂, Mungu akutole mfano chap 😂😂😂
Lubasha Jr Kuna wana wapo home michongo inawafata halafu kuna wanaoikimbiza michongo inawakimbiaa life haiko fair, tuendelee kupambania kombee nakuilinda imani