#EKsports || Nyota wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu ya Taifa ya Nigeria, John Obi Mikel amedai Waafrika wengi waliofanikiwa kiuchumi wanakumbana na presha kubwa kutoka kwa Familia wakitakiwa kuwapa fedha kwa lazima na wasipofanya hivyo wanaonekana wabaya.
#EKsports || Mshambuliaji wa klabu ya Simba Jean Othos Baleke huenda akatimka klabuni hao kwenye kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January barani Ulaya.
Baleke anatajwa kujiunga na klabu moja inayoshiriki moja ya Ligi nchini Ufaransa.
Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba SC Ismael Aden Rage ameishauri klabu yake hiyo ya zamani kudai fidia ya Shilingi milioni 100 kwa Bango la magoli 5-1 kuonekana Tegeta na Morocco.
#EKsports || Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal, Barcelona, Arta Solar7 ya Djibouti na timu ya Taifa ya Cameroon Alexender Song ametangaza kustaafu kucheza soka la kulipwa hii leo November 14 akiwa na umri wa miaka 36.
Afisa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu ya Simba Imani Kajula amesema Whatsapp waliifata Simba na kuiomba iwe timu ya kwanza Afrika Mashariki kufungua Channel ya Whatsapp.
Simba imezindua hii leo channel mpya kupitia mtandao wa Whatsapp na imetambulishwa na CEO wa klabu hiyo Kajula.
#EKsports || Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage anaipa nafasi klabu ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.
Rage ameipa nafasi Simba na Wydad AC kufuzu hatua ya robo fainali msimu huu.
Baada ya kuangalia Soweto Derby hii leo inawezekana kabisa Kariakoo Derby ikawa Derby yenye mvuto kwa sasa Afrika. NB: Yawezekana mvuto wa Derby nyingine upo zaidi nje ya Uwanja
#EKsports || Aliyekuwa kocha mkuu wa kikosi cha Simba Roberto Oliviera amesema katika usajili uliofanywa na klabu ya Simba katika dirisha kubwa la usajili ni maingizo ya wachezaji wawili tu wa maana ambao ni Fabrice Ngoma na Fondoh Che Malone.