Muulize shabiki mwenzio kuwa anaona dalili za timu yake kukamilisha mchakato wa mabadiliko au mpaka timu ianze kunesanesa kupata matokeo ya hovyo kama mpapai wa Zulia...ππππ ndio waseme mwekezaji HAFAI/MFADHILI
#EKsports || 'Clement Mzize ni moja ya washambuliaji bora wazawa kwasasa nchini, laiti kama angepita kwenye misingi bora ya uandaaji wa vipaji leo asingecheza hapa Tanzania angekuwa Ulaya.' - Meja Mstaafu Abdul Mingange.
Katika ripoti ya mapato na matumizi ya klabu ya Simba Mo hatajwi kama chanzo cha mapato ya klabu.Tafsiri yake ni kuwa klabu inajiendesha bila Mo....ππ
'Ni kikwazo kwa wawekezaji wengine....?.... 'Kama ni kikwazo why aendeleee....? 'Maisha ya klabu ya Simba mbeleni yana mwanga.....? ' Timu zinajiendesha kihasala hivyo lazima wawepo watu wa kutoa hela muda wote......' ππ
#EKsports || Juma Kaseja ni moja ya magolikipa waliowahi kufanya vizuri kwenye ngazi ya klabu Barani Afrika na amedaka kwa kiwango bora sana akiwa na timu ya Taifa ya Tanzania.
Tutajie golikipa wako bora mzawa ambaye ana ubora kumzidi Juma Kaseja Juma _________?