Huu ndio ukweli , hakuna unabii wala kupakwa mafuta kunako ondoa nafasi ya kazi na wajibu ktk maisha. Mafanikio yanatokana na kazi,wajibu na bidii,ni muhimu tukazingatia kuwa nguvu ya Mungu inaishi ndani yetu na sio nje yetu.Kuna mafundisho mengi siku hizi ambayo yanaiondoa jamiiโฆ